Kutoka 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kisha akaichukua dhahabu hiyo toka mikononi mwao, naye akaifanya+ kwa kifaa cha kuchongea na kuifanya kuwa sanamu ya kuyeyushwa ya ndama.+ Nao wakaanza kusema: “Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, aliyekuongoza kutoka nchi ya Misri.”+
4 Kisha akaichukua dhahabu hiyo toka mikononi mwao, naye akaifanya+ kwa kifaa cha kuchongea na kuifanya kuwa sanamu ya kuyeyushwa ya ndama.+ Nao wakaanza kusema: “Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, aliyekuongoza kutoka nchi ya Misri.”+