Zaburi 78:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Jinsi walivyomwasi mara nyingi nyikani,+Wakamhuzunisha jangwani!+ Matendo 7:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+ Waefeso 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Pia, msiwe mkiihuzunisha roho takatifu+ ya Mungu, ambayo kupitia hiyo mmetiwa muhuri+ kwa ajili ya siku ya kuachiliwa huru kupitia fidia.+
51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+
30 Pia, msiwe mkiihuzunisha roho takatifu+ ya Mungu, ambayo kupitia hiyo mmetiwa muhuri+ kwa ajili ya siku ya kuachiliwa huru kupitia fidia.+