Isaya 63:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini wao wenyewe waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Sasa alibadilika akawa adui+ yao; yeye mwenyewe alipiga vita juu yao.+ 2 Wakorintho 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Huku tukifanya kazi pamoja naye,+ tunawasihi ninyi pia msipokee fadhili zisizostahiliwa za Mungu kisha mkose kusudi lake.+ 1 Wathesalonike 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Msiuzime moto wa roho.+
10 Lakini wao wenyewe waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Sasa alibadilika akawa adui+ yao; yeye mwenyewe alipiga vita juu yao.+
6 Huku tukifanya kazi pamoja naye,+ tunawasihi ninyi pia msipokee fadhili zisizostahiliwa za Mungu kisha mkose kusudi lake.+