17 Na hakika mimi nitauweka uso wangu juu yenu, nanyi hakika mtashindwa mbele ya adui zenu;+ nao wale wanaowachukia ninyi watawakanyagia chini,+ nanyi kwa kweli mtakimbia wakati ambapo hakuna mtu yeyote anayewafuatilia.+
63 “Na itatukia kwamba kama vile Yehova alivyokuwa na furaha juu yenu ili kuwafanyia mema na kuwazidisha ninyi,+ ndivyo Yehova atakavyokuwa na furaha juu yenu ili kuwaharibu ninyi na kuwaangamiza ninyi;+ nanyi mtang’olewa kutoka katika nchi mnayoenda kuimiliki.+
14 Wale wote wanaokupenda sana ndio wale ambao wamekusahau.+ Si wewe ambaye wanaendelea kukutafuta. Kwa maana nimekupiga kwa pigo la adui,+ kwa adhabu ya mtu mkatili,+ kwa sababu ya wingi wa makosa yako;+ dhambi zako zimekuwa nyingi.+