Hesabu 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwishowe Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunitendea bila heshima+ mpaka wakati gani,+ nao watakosa kuniamini mpaka wakati gani ijapokuwa ishara zote ambazo nilifanya katikati yao?+ Zaburi 78:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nao wakaendelea kumtendea dhambi hata zaidi+Kwa kumwasi Aliye Juu Zaidi katika eneo lisilo na maji;+
11 Mwishowe Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunitendea bila heshima+ mpaka wakati gani,+ nao watakosa kuniamini mpaka wakati gani ijapokuwa ishara zote ambazo nilifanya katikati yao?+
17 Nao wakaendelea kumtendea dhambi hata zaidi+Kwa kumwasi Aliye Juu Zaidi katika eneo lisilo na maji;+