Kumbukumbu la Torati 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Lakini ijapokuwa mlikuwa na neno hilo ninyi hamkuwa na imani katika Yehova Mungu wenu,+ Zaburi 106:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao wakaichukia nchi yenye kutamanika;+Hawakuwa na imani katika neno lake.+ Waebrania 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo tunaona kwamba hawakuweza kuingia kwa sababu ya kukosa imani.+