Zaburi 78:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana hawakuwa na imani katika Mungu,+Wala hawakutegemea wokovu wake.+ Zaburi 106:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao wakaichukia nchi yenye kutamanika;+Hawakuwa na imani katika neno lake.+ Waebrania 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana ni nani waliosikia na bado wakachochea hasira kali?+ Kwa kweli, je, hawakufanya hivyo wale wote waliotoka Misri chini ya Musa?+ Waebrania 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo tunaona kwamba hawakuweza kuingia kwa sababu ya kukosa imani.+ Yuda 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ninataka kuwakumbusha ninyi, ingawa tayari mnajua mambo yote+ haya kwamba Yehova, ijapokuwa aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri,+ baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuonyesha imani.+
16 Kwa maana ni nani waliosikia na bado wakachochea hasira kali?+ Kwa kweli, je, hawakufanya hivyo wale wote waliotoka Misri chini ya Musa?+
5 Ninataka kuwakumbusha ninyi, ingawa tayari mnajua mambo yote+ haya kwamba Yehova, ijapokuwa aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri,+ baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuonyesha imani.+