Zaburi 106:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao wakaichukia nchi yenye kutamanika;+Hawakuwa na imani katika neno lake.+ Waebrania 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa sababu hiyo nikachukizwa na kizazi hiki, nikasema, ‘Wao hupotea sikuzote katika mioyo yao,+ nao wenyewe hawajapata kuzijua njia zangu.’+ Yuda 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ninataka kuwakumbusha ninyi, ingawa tayari mnajua mambo yote+ haya kwamba Yehova, ijapokuwa aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri,+ baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuonyesha imani.+
10 Kwa sababu hiyo nikachukizwa na kizazi hiki, nikasema, ‘Wao hupotea sikuzote katika mioyo yao,+ nao wenyewe hawajapata kuzijua njia zangu.’+
5 Ninataka kuwakumbusha ninyi, ingawa tayari mnajua mambo yote+ haya kwamba Yehova, ijapokuwa aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri,+ baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuonyesha imani.+