Kumbukumbu la Torati 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo alikunyenyekeza, akakuacha ukae na njaa,+ akakulisha mana,+ ambayo hukuwa umeijua wala baba zako hawakuwa wameijua; ili kukufanya ujue kwamba mwanadamu haishi kwa mkate tu bali mwanadamu huishi kwa kila neno la kinywa cha Yehova.+ Zaburi 95:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho,+Nami nikasema:“Wao ni kikundi cha watu waliopotoka moyoni,+Nao wenyewe hawajapata kuzijua njia zangu”;+
3 Kwa hiyo alikunyenyekeza, akakuacha ukae na njaa,+ akakulisha mana,+ ambayo hukuwa umeijua wala baba zako hawakuwa wameijua; ili kukufanya ujue kwamba mwanadamu haishi kwa mkate tu bali mwanadamu huishi kwa kila neno la kinywa cha Yehova.+
10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho,+Nami nikasema:“Wao ni kikundi cha watu waliopotoka moyoni,+Nao wenyewe hawajapata kuzijua njia zangu”;+