Kutoka 16:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na nyumba ya Israeli ikaanza kukiita jina lake “mana.” Nacho kilikuwa cheupe kama mbegu za mgiligilani, na ladha yake ilikuwa kama ya keki bapa zenye asali.+ Zaburi 78:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye akaendelea kuwanyeshea mana ili wale,+Naye akawapa nafaka ya mbinguni.+
31 Na nyumba ya Israeli ikaanza kukiita jina lake “mana.” Nacho kilikuwa cheupe kama mbegu za mgiligilani, na ladha yake ilikuwa kama ya keki bapa zenye asali.+