Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Baada ya muda ule utando wa umande ukawa mvuke, na tazama, juu ya uso wa nyika kulikuwa na kitu laini chenye chembechembe,+ laini kama sakitu+ juu ya dunia.

  • Kutoka 16:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nao wana wa Israeli wakala mana miaka 40,+ mpaka walipofika katika nchi inayokaliwa.+ Walikula mana mpaka walipofika mpakani mwa nchi ya Kanaani.+

  • Hesabu 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mana+ ilikuwa kama mbegu ya mgiligilani+ nayo ilionekana kama ulimbo wa bedola.+

  • Kumbukumbu la Torati 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo alikunyenyekeza, akakuacha ukae na njaa,+ akakulisha mana,+ ambayo hukuwa umeijua wala baba zako hawakuwa wameijua; ili kukufanya ujue kwamba mwanadamu haishi kwa mkate tu bali mwanadamu huishi kwa kila neno la kinywa cha Yehova.+

  • Nehemia 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nawe ukawapa mkate kutoka mbinguni kwa ajili ya njaa yao,+ na kutoka katika mwamba ukawaletea maji kwa ajili ya kiu yao,+ nawe ukawaambia waingie+ na kuimiliki nchi ambayo kwa kiapo ulikuwa umeuinua mkono wako ili kuwapa.+

  • Yohana 6:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mababu zetu walikula mana+ nyikani, kama vile ambavyo imeandikwa, ‘Aliwapa mkate kutoka mbinguni ili wale.’ ”+

  • 1 Wakorintho 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 na wote walikula chakula kilekile cha kiroho+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki