Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Baada ya muda ule utando wa umande ukawa mvuke, na tazama, juu ya uso wa nyika kulikuwa na kitu laini chenye chembechembe,+ laini kama sakitu+ juu ya dunia.

  • Nehemia 9:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nawe ukawapa roho+ yako njema ili kuwapa hekima, nawe hukuwanyima mana vinywani mwao,+ na maji ukawapa kwa ajili ya kiu yao.+

  • Yohana 6:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mababu zetu walikula mana+ nyikani, kama vile ambavyo imeandikwa, ‘Aliwapa mkate kutoka mbinguni ili wale.’ ”+

  • Yohana 6:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kwa maana mkate wa Mungu ni yule ambaye hushuka kutoka mbinguni na kuupa ulimwengu uzima.”

  • Yohana 6:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Mimi ndio mkate ulio hai ulioshuka kutoka mbinguni; yeyote akila mkate huu ataishi milele; na, kwa kweli, mkate ambao nitatoa ni mwili+ wangu kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki