18 Kwa kweli nikienda nje shambani, tazama, sasa, wale waliouawa kwa upanga!+ Na kwa kweli mimi nikija ndani ya jiji, tazama, pia, magonjwa yaliyoletwa na njaa!+ Kwa maana nabii na kuhani vilevile wamezunguka kwenda katika nchi ambayo hawakuijua.’”+
21 Kwa hiyo uwatoe wana wao waone njaa,+ na kuwatoa wapatwe na nguvu za upanga;+ wake zao na wawe wanawake waliofiwa na watoto, na wajane.+ Wanaume wao na wauawe kwa tauni yenye kufisha, vijana wao na wapigwe na kuuawa kwa upanga vitani.+