Yeremia 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nikienda shambani na kutazama,Ninawaona wale waliouawa kwa upanga!+ Na nikiingia jijini,Ninayaona magonjwa yaliyoletwa na njaa kali!+ Kwa maana nabii na kuhani wamezunguka katika nchi wasiyoijua.’”+
18 Nikienda shambani na kutazama,Ninawaona wale waliouawa kwa upanga!+ Na nikiingia jijini,Ninayaona magonjwa yaliyoletwa na njaa kali!+ Kwa maana nabii na kuhani wamezunguka katika nchi wasiyoijua.’”+