Zaburi 109:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wanawe watange-tange;+Nao waombe-ombe,Nao watafute chakula kutoka katika mahali pao penye ukiwa.+ Yeremia 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 kwa hiyo Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, mimi ninakaza fikira zangu juu yao. Vijana watakufa kwa upanga.+ Wana wao na binti zao watakufa kwa njaa.+
10 Na wanawe watange-tange;+Nao waombe-ombe,Nao watafute chakula kutoka katika mahali pao penye ukiwa.+
22 kwa hiyo Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, mimi ninakaza fikira zangu juu yao. Vijana watakufa kwa upanga.+ Wana wao na binti zao watakufa kwa njaa.+