Yeremia 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 kwa hiyo Yehova wa majeshi anasema hivi: “Tazama, nitawaadhibu.* Vijana watakufa kwa upanga,+ na wana wao na mabinti wao watakufa kwa njaa kali.+
22 kwa hiyo Yehova wa majeshi anasema hivi: “Tazama, nitawaadhibu.* Vijana watakufa kwa upanga,+ na wana wao na mabinti wao watakufa kwa njaa kali.+