Yeremia 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 nami nitawatawanya kati ya mataifa ambayo wao wala baba zao hawakuyajua,+ nami nitatuma upanga uwafuate mpaka nitakapowaangamiza.’+ Maombolezo 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tazama, Ee Yehova, kwa maana nina dhiki kali. Matumbo yangu yako katika msukosuko.+Moyo wangu umepinduliwa ndani yangu,+ kwa maana nimeasi kabisa.+Huko nje upanga uliwaua watoto.+ Ndani ya nyumba ni sawasawa na kifo.+
16 nami nitawatawanya kati ya mataifa ambayo wao wala baba zao hawakuyajua,+ nami nitatuma upanga uwafuate mpaka nitakapowaangamiza.’+
20 Tazama, Ee Yehova, kwa maana nina dhiki kali. Matumbo yangu yako katika msukosuko.+Moyo wangu umepinduliwa ndani yangu,+ kwa maana nimeasi kabisa.+Huko nje upanga uliwaua watoto.+ Ndani ya nyumba ni sawasawa na kifo.+