Mambo ya Walawi 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa. Yeremia 42:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 itatukia pia kwamba ule upanga ambao mnaogopa utawafikia huko katika nchi ya Misri,+ na ile njaa ambayo mnaiogopa itawafuatilia kwa ukaribu mpaka Misri;+ nanyi mtakufa huko.+ Ezekieli 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na wote wanaomzunguka ili kumsaidia, na majeshi yake yote, nitawatawanya kuelekea kila upepo;+ na upanga nitauchomoa nyuma yao.+
33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa.
16 itatukia pia kwamba ule upanga ambao mnaogopa utawafikia huko katika nchi ya Misri,+ na ile njaa ambayo mnaiogopa itawafuatilia kwa ukaribu mpaka Misri;+ nanyi mtakufa huko.+
14 Na wote wanaomzunguka ili kumsaidia, na majeshi yake yote, nitawatawanya kuelekea kila upepo;+ na upanga nitauchomoa nyuma yao.+