Mambo ya Walawi 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa. Yeremia 42:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 itatukia pia kwamba ule upanga ambao mnaogopa utawafikia huko katika nchi ya Misri,+ na ile njaa ambayo mnaiogopa itawafuatilia kwa ukaribu mpaka Misri;+ nanyi mtakufa huko.+
33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa.
16 itatukia pia kwamba ule upanga ambao mnaogopa utawafikia huko katika nchi ya Misri,+ na ile njaa ambayo mnaiogopa itawafuatilia kwa ukaribu mpaka Misri;+ nanyi mtakufa huko.+