Kumbukumbu la Torati 28:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 “Na laana zote hizo+ hakika zitakujia na kukufuata na kukufikia mpaka utakapokuwa umeangamizwa,+ kwa sababu hukuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kushika amri zake na kanuni zake alizokuamuru.+ Methali 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Watenda-dhambi ndio hufuatwa na msiba,+ lakini waadilifu ndio ambao wema huwapa thawabu.+ Ezekieli 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “ ‘Ninyi mmeuogopa upanga,+ nami nitauleta upanga juu yenu,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+
45 “Na laana zote hizo+ hakika zitakujia na kukufuata na kukufikia mpaka utakapokuwa umeangamizwa,+ kwa sababu hukuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kushika amri zake na kanuni zake alizokuamuru.+