19 Kisha Mfalme Sedekia akamwambia Yeremia: “Ninawaogopa Wayahudi ambao wamekimbia kwenda kwa Wakaldayo,+ wasije wakanitia katika mikono yao nao wakanitendea vibaya.”+
14 mkisema: “Hapana, bali tutaenda katika nchi ya Misri,+ ambapo hatutaona vita wala hatutaisikia sauti ya baragumu wala kushinda njaa kwa kukosa mkate; na hapo ndipo tutakapokaa”;+