Mambo ya Walawi 26:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 ndipo nitakapotembea kwa kuwapinga vikali,+ na mimi, naam, mimi nitawatia adabu mara saba kwa sababu ya dhambi zenu.+ 2 Wafalme 17:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Yehova akaukataa uzao+ wote wa Israeli, akaendelea kuwatesa na kuwatia mkononi mwa waporaji, mpaka alipowatupilia mbali kutoka mbele zake.+ Isaya 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini mkikataa+ na kwa kweli muwe waasi, mtaliwa na upanga; kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”+ Yeremia 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nitatuma juu yao upanga,+ njaa+ na tauni,+ mpaka waufikie mwisho wao kutoka katika nchi niliyowapa wao na mababu zao.”’”+
28 ndipo nitakapotembea kwa kuwapinga vikali,+ na mimi, naam, mimi nitawatia adabu mara saba kwa sababu ya dhambi zenu.+
20 Basi Yehova akaukataa uzao+ wote wa Israeli, akaendelea kuwatesa na kuwatia mkononi mwa waporaji, mpaka alipowatupilia mbali kutoka mbele zake.+
20 Lakini mkikataa+ na kwa kweli muwe waasi, mtaliwa na upanga; kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”+
10 Nami nitatuma juu yao upanga,+ njaa+ na tauni,+ mpaka waufikie mwisho wao kutoka katika nchi niliyowapa wao na mababu zao.”’”+