2 Mambo ya Nyakati 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Je, wewe mwenyewe, Ee Mungu wetu,+ hukuwafukuza wakaaji wa nchi hii kutoka mbele ya watu wako Israeli,+ kisha ukaikabidhi+ kwa uzao wa Abrahamu, mpendwa wako,+ mpaka wakati usio na kipimo? Yeremia 6:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hakika watu watawaita fedha iliyokataliwa,+ kwa maana Yehova amewakataa.”+
7 Je, wewe mwenyewe, Ee Mungu wetu,+ hukuwafukuza wakaaji wa nchi hii kutoka mbele ya watu wako Israeli,+ kisha ukaikabidhi+ kwa uzao wa Abrahamu, mpendwa wako,+ mpaka wakati usio na kipimo?