28 na laana,+ ikiwa hamtatii amri za Yehova Mungu+ wenu nanyi mgeuke kutoka katika njia ambayo ninawaamuru ninyi juu yake leo, ili kufuata miungu mingine ambayo hamjaijua.
24 Lakini hawakusikiliza, wala hawakutega sikio lao,+ bali wakatembea katika mashauri kwa ukaidi wa moyo wao mbaya,+ hivi kwamba wakawa watu wa kuelekea nyuma wala si mbele,+