Mambo ya Walawi 26:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 ndipo mimi nitawafanyia yanayofuata, na katika kutoa adhabu hakika nitaleta juu yenu usumbufu kwa kifua kikuu+ na homa kali, kufanya macho yafifie+ na kuifanya nafsi idhoofike.+ Nanyi mtapanda mbegu yenu bure, kwa maana adui zenu hakika wataila.+ Isaya 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini mkikataa+ na kwa kweli muwe waasi, mtaliwa na upanga; kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”+
16 ndipo mimi nitawafanyia yanayofuata, na katika kutoa adhabu hakika nitaleta juu yenu usumbufu kwa kifua kikuu+ na homa kali, kufanya macho yafifie+ na kuifanya nafsi idhoofike.+ Nanyi mtapanda mbegu yenu bure, kwa maana adui zenu hakika wataila.+
20 Lakini mkikataa+ na kwa kweli muwe waasi, mtaliwa na upanga; kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”+