Kumbukumbu la Torati 28:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Mazao ya udongo wako na mazao yako yote yataliwa na watu ambao hukuwajua;+ nawe utakuwa mtu aliyepunjwa na kupondwa sikuzote.+ Waamuzi 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na ikatukia kwamba, Israeli wakipanda mbegu,+ Midiani na Amaleki+ na watu wa Mashariki+ walikuwa wakija, ndiyo, walikuja kupigana nao.
33 Mazao ya udongo wako na mazao yako yote yataliwa na watu ambao hukuwajua;+ nawe utakuwa mtu aliyepunjwa na kupondwa sikuzote.+
3 Na ikatukia kwamba, Israeli wakipanda mbegu,+ Midiani na Amaleki+ na watu wa Mashariki+ walikuwa wakija, ndiyo, walikuja kupigana nao.