Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 ndipo mimi nitawafanyia yanayofuata, na katika kutoa adhabu hakika nitaleta juu yenu usumbufu kwa kifua kikuu+ na homa kali, kufanya macho yafifie+ na kuifanya nafsi idhoofike.+ Nanyi mtapanda mbegu yenu bure, kwa maana adui zenu hakika wataila.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Nao hakika watakula uzao wa wanyama wako wa kufugwa na mazao ya udongo wako mpaka utakapokuwa umeangamizwa,+ nao hawatakuachia nafaka yoyote, divai mpya au mafuta, mtoto wa ng’ombe wako au uzao wa kundi lako, mpaka watakapokuwa wamekuangamiza.+

  • Nehemia 9:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 na mazao yake yamejaa+ kwa ajili ya wafalme+ ambao umeweka juu yetu kwa sababu ya dhambi zetu,+ nao wanatawala juu ya miili yetu na juu ya wanyama wetu wa kufugwa, kulingana na mapenzi yao, nasi tumo katika taabu kubwa.+

  • Isaya 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nchi yenu ni ukiwa,+ majiji yenu yameteketezwa kwa moto;+ udongo wenu—mbele ya macho yenu wageni+ wanaula,+ na ukiwa huo ni kama maangamizi yaliyofanywa na wageni.+

  • Yeremia 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hakika wao pia watakula mavuno yako na mkate wako.+ Watu hao watakula wana wako na binti zako. Watakula makundi yako na mifugo yako. Watakula mzabibu wako na mtini wako.+ Watavunja-vunja kwa upanga majiji yako yenye ngome unayoyategemea.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki