2 Wafalme 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha mfalme wa Ashuru+ akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akawakalisha katika Hala+ na katika Habori+ kando ya mto Gozani na katika majiji ya Wamedi,+ Maombolezo 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Fungu la urithi wetu limeenda kwa wageni, nyumba zetu kwa watu wa kutoka ugenini.+
11 Kisha mfalme wa Ashuru+ akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akawakalisha katika Hala+ na katika Habori+ kando ya mto Gozani na katika majiji ya Wamedi,+