Amosi 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Basi sasa wataenda uhamishoni wakiwa mbele ya wale wanaoenda uhamishoni,+ na karamu za kupindukia za wale wanaojitandaza zitaondoka. Amosi 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nao wakienda utekwani mbele ya adui zao, kutoka huko nitaamuru upanga, nao utawaua;+ nami nitaweka macho yangu juu yao kwa mabaya, wala si kwa mema.+
7 “Basi sasa wataenda uhamishoni wakiwa mbele ya wale wanaoenda uhamishoni,+ na karamu za kupindukia za wale wanaojitandaza zitaondoka.
4 Nao wakienda utekwani mbele ya adui zao, kutoka huko nitaamuru upanga, nao utawaua;+ nami nitaweka macho yangu juu yao kwa mabaya, wala si kwa mema.+