Kumbukumbu la Torati 28:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Utazaa wana na mabinti, lakini hawataendelea kuwa wako, kwa sababu wataenda utekwani.+ Amosi 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wala msitafute Betheli,+ wala msiende Gilgali,+ wala msivuke Beer-sheba;+ kwa sababu Gilgali litakwenda uhamishoni;+ Betheli nalo litakuwa kitu cha uchawi.+
5 Wala msitafute Betheli,+ wala msiende Gilgali,+ wala msivuke Beer-sheba;+ kwa sababu Gilgali litakwenda uhamishoni;+ Betheli nalo litakuwa kitu cha uchawi.+