Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Wana wako na binti zako watapewa watu wengine+ na macho yako yakitazama na kuwatamani sikuzote—lakini mikono yako itakuwa haina nguvu.+

  • 2 Wafalme 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akapeleka uhamishoni+ Yerusalemu yote na wakuu+ wote na wanaume mashujaa wote, wenye nguvu+—akapeleka uhamishoni watu elfu kumi—na pia kila fundi+ na mjenzi wa maboma. Hakuna yeyote aliyeachwa nyuma isipokuwa watu wa tabaka ya chini+ wa nchi.

  • Yeremia 52:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na baadhi ya watu wa hali ya chini kati ya watu na wale watu wengine walioachwa katika jiji+ na wale waliokimbia wakajiunga na mfalme wa Babiloni na wale wafanyakazi stadi wengine Nebuzaradani mkuu wa walinzi akawapeleka uhamishoni.+

  • Yeremia 52:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Katika mwaka wa 23 wa Nebukadreza, Nebuzaradani mkuu wa walinzi aliwapeleka Wayahudi uhamishoni, nafsi 745.+

      Nafsi zote zilikuwa 4,600.

  • Maombolezo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Wapinzani wake wamekuwa kichwa.+ Adui zake hawajali.+

      Kwa maana Yehova mwenyewe amemletea huzuni kwa sababu ya wingi wa makosa yake,+

      Watoto wake mwenyewe wametembea wakiwa mateka mbele ya

      adui.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki