14 Naye akapeleka uhamishoni+ Yerusalemu yote na wakuu+ wote na wanaume mashujaa wote, wenye nguvu+—akapeleka uhamishoni watu elfu kumi—na pia kila fundi+ na mjenzi wa maboma. Hakuna yeyote aliyeachwa nyuma isipokuwa watu wa tabaka ya chini+ wa nchi.
15 Na baadhi ya watu wa hali ya chini kati ya watu na wale watu wengine walioachwa katika jiji+ na wale waliokimbia wakajiunga na mfalme wa Babiloni na wale wafanyakazi stadi wengine Nebuzaradani mkuu wa walinzi akawapeleka uhamishoni.+