Amosi 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 wale wanaoapa kwa hatia ya Samaria,+ na ambao husema: “Kama anavyoishi mungu wako, Ee Dani!”+ na, “Kama inavyoishi njia ya Beer-sheba!”+ Nao wataanguka, wala hawatasimama tena.’ ”+
14 wale wanaoapa kwa hatia ya Samaria,+ na ambao husema: “Kama anavyoishi mungu wako, Ee Dani!”+ na, “Kama inavyoishi njia ya Beer-sheba!”+ Nao wataanguka, wala hawatasimama tena.’ ”+