Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 23:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 kwa kutoingia kamwe kati ya mataifa haya,+ yaani, haya yanayobaki na ninyi. Nanyi msitaje majina ya miungu yao+ wala kuapa kwa hiyo,+ msiitumikie wala kuiinamia.+

  • 1 Wafalme 12:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na jambo hilo likaja kusababisha dhambi,+ na watu wakaanza kwenda mpaka kule Dani mbele ya yule aliyekuwa huko.

  • Hosea 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndama wako ametupiliwa mbali,+ Ee Samaria. Hasira yangu imewaka juu yao.+ Wataendelea mpaka wakati gani kutoweza kuwa na hali isiyo na hatia?+

  • Hosea 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wakaaji wa Samaria wataogopa kwa sababu ya sanamu ya ndama ya Beth-aveni;+ kwa maana watu wake wataiombolezea, na vilevile makuhani wake wa miungu ya kigeni waliokuwa wakishangilia juu yake, kwa sababu ya utukufu wake, kwa maana itakuwa imeenda uhamishoni mbali nayo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki