5 Wakaaji wa Samaria wataogopa kwa sababu ya sanamu ya ndama ya Beth-aveni;+ kwa maana watu wake wataiombolezea, na vilevile makuhani wake wa miungu ya kigeni waliokuwa wakishangilia juu yake, kwa sababu ya utukufu wake, kwa maana itakuwa imeenda uhamishoni mbali nayo.+