Kumbukumbu la Torati 32:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu+Nao utateketeza mpaka katika Kaburi,* mahali pa chini zaidi,+Nao utateketeza dunia na mazao yake+Nao utawasha misingi ya milima.+ 2 Wafalme 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo Yehova akakasirikia+ Israeli sana, hivi kwamba akawaondoa machoni pake.+ Hakuacha yeyote abaki isipokuwa kabila la Yuda peke yake.+
22 Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu+Nao utateketeza mpaka katika Kaburi,* mahali pa chini zaidi,+Nao utateketeza dunia na mazao yake+Nao utawasha misingi ya milima.+
18 Kwa hiyo Yehova akakasirikia+ Israeli sana, hivi kwamba akawaondoa machoni pake.+ Hakuacha yeyote abaki isipokuwa kabila la Yuda peke yake.+