Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 mnapaswa kujua hakika kwamba Yehova Mungu wenu hataendelea kuyanyang’anya mataifa haya miliki yao kwa ajili yenu;+ nayo yatakuwa kwenu kama mtego na mnaso na kama kiboko mbavuni mwenu+ na kama miiba machoni penu mpaka mtakapoangamia na kutoka katika nchi hii nzuri ambayo Yehova Mungu wenu amewapa ninyi.+

  • Isaya 42:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ni nani ambaye amemtoa Yakobo kwa ajili ya kunyakuliwa tu, na Israeli kwa waporaji? Je, si Yehova, Yeye ambaye tumemtendea dhambi, na ambaye hawakutaka kutembea katika njia zake na ambaye hawakuisikiliza sheria yake?+

  • Yeremia 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Yehova akaniambia: “Kama Musa+ na Samweli+ wangekuwa wamesimama mbele zangu, nafsi yangu haingewaelekea watu hawa.+ Wangefukuzwa mbele za uso wangu, ili watoke waende.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki