11 Kisha mfalme wa Ashuru+ akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akawakalisha katika Hala+ na katika Habori+ kando ya mto Gozani na katika majiji ya Wamedi,+
16 “Samaria atahesabiwa kuwa na hatia,+ kwa maana kwa kweli yeye amemwasi Mungu wake.+ Wataanguka kwa upanga.+ Watoto wao wenyewe watavunjwa vipande-vipande,+ na wanawake wao wenye mimba watapasuliwa.”+