4 kwa maana kabla mvulana huyo hajajua jinsi ya kuita,+ ‘Baba yangu!’ na ‘Mama yangu!’ mtu fulani atachukulia mbali mali za Damasko na nyara za Samaria mbele ya mfalme wa Ashuru.”+
3 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Jiji lililokuwa likitoka nje likiwa na elfu moja litaachwa na mia; na lile lililokuwa likitoka nje likiwa na mia moja litaachwa na kumi, kwa nyumba ya Israeli.’+