Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tazama! Wewe mwenyewe umesikia yale ambayo wafalme wa Ashuru walizitendea nchi zote kwa kuziangamiza;+ na je, wewe mwenyewe utakombolewa?+

  • Isaya 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa maana kabla mvulana huyo hajajua jinsi ya kuita,+ ‘Baba yangu!’ na ‘Mama yangu!’ mtu fulani atachukulia mbali mali za Damasko na nyara za Samaria mbele ya mfalme wa Ashuru.”+

  • Hosea 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana wao wenyewe wamepanda kwenda Ashuru,+ kama punda-milia aliyejitenga.+ Kwa habari ya Efraimu, wamekodi wapenzi.+

  • Amosi 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Jiji lililokuwa likitoka nje likiwa na elfu moja litaachwa na mia; na lile lililokuwa likitoka nje likiwa na mia moja litaachwa na kumi, kwa nyumba ya Israeli.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki