19 Pulu+ mfalme wa Ashuru+ akaingia katika nchi. Basi Menahemu akampa+ Pulu talanta elfu moja za fedha,+ ili mikono yake iwe pamoja naye kuimarisha ufalme mkononi mwake.+
5 “Naye Ohola akaanza kufanya ukahaba,+ alipokuwa chini yangu, na kuendelea kuwa na uchu kuwaelekea wale wanaompenda kwa tamaa,+ kuwaelekea Waashuru,+ waliokuwa karibu,
13 “Na Efraimu akaona ugonjwa wake, na Yuda kidonda chake.+ Ndipo Efraimu akaenda Ashuru+ na kupeleka ujumbe kwa mfalme mkuu.+ Lakini huyo hakuweza kuwaponya ninyi,+ wala kuwaondolea kidonda kwa dawa yoyote.+
12“Efraimu anajilisha upepo+ na kufukuza upepo wa mashariki siku nzima.+ Anazidisha uwongo na uporaji.+ Nao hufanya agano na Ashuru,+ na mafuta hupelekwa Misri.