Hosea 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Waefraimu wanakula upepo. Wanaukimbiza upepo wa mashariki siku nzima. Wanazidisha uwongo na ukatili. Wanafanya agano na Ashuru+ na kupeleka mafuta Misri.+
12 “Waefraimu wanakula upepo. Wanaukimbiza upepo wa mashariki siku nzima. Wanazidisha uwongo na ukatili. Wanafanya agano na Ashuru+ na kupeleka mafuta Misri.+