Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Katika siku za Peka mfalme wa Israeli, Tiglath-pileseri+ mfalme wa Ashuru+ aliingia na kuchukua Iyoni+ na Abel-beth-maaka+ na Yanoa na Kedeshi+ na Hasori+ na Gileadi+ na Galilaya,+ nchi yote ya Naftali,+ akawachukua na kuwapeleka uhamishoni katika Ashuru.+

  • 2 Wafalme 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo Ahazi akatuma wajumbe kwa Tiglath-pileseri+ mfalme wa Ashuru, na kusema: “Mimi ni mtumishi+ wako na mwana wako. Njoo uniokoe+ kutoka mkononi mwa mfalme wa Siria na kutoka mkononi mwa mfalme wa Israeli, ambao wanasimama kunishambulia.”

  • Hosea 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana wao wenyewe wamepanda kwenda Ashuru,+ kama punda-milia aliyejitenga.+ Kwa habari ya Efraimu, wamekodi wapenzi.+

  • Hosea 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Efraimu anajilisha upepo+ na kufukuza upepo wa mashariki siku nzima.+ Anazidisha uwongo na uporaji.+ Nao hufanya agano na Ashuru,+ na mafuta hupelekwa Misri.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki