Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo Ahazi akatuma wajumbe kwa Tiglath-pileseri+ mfalme wa Ashuru, na kusema: “Mimi ni mtumishi+ wako na mwana wako. Njoo uniokoe+ kutoka mkononi mwa mfalme wa Siria na kutoka mkononi mwa mfalme wa Israeli, ambao wanasimama kunishambulia.”

  • 1 Mambo ya Nyakati 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Beera mwana wake, ambaye Tilgath-pilneseri+ mfalme wa Ashuru alimpeleka uhamishoni, yeye akiwa mkuu wa Warubeni.

  • 1 Mambo ya Nyakati 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa hiyo Mungu wa Israeli akachochea roho+ ya Pulu+ mfalme wa Ashuru,+ roho ya Tilgath-pilneseri+ mfalme wa Ashuru, hivi kwamba akawapeleka uhamishoni+ Warubeni na Wagadi na nusu ya kabila la Manase, akawaleta mpaka Hala+ na Habori na Hara na mto Gozani waendelee kuwako mpaka leo hii.

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mwishowe Tilgath-pilneseri+ mfalme wa Ashuru akaja kupigana naye na kumtaabisha,+ naye hakumtia nguvu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki