64 “Na Yehova atakutawanya katikati ya vikundi vyote vya watu kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho mwingine wa dunia,+ na huko utalazimika kuitumikia miungu mingine ambayo hukuijua, wala wewe wala mababu zako, miti na mawe.+
23 mpaka Yehova alipoondoa Israeli kutoka mbele za macho yake,+ kama alivyokuwa amesema kupitia kwa watumishi wake wote manabii.+ Basi Israeli wakatoka katika udongo wao wenyewe, wakaenda uhamishoni katika Ashuru mpaka leo hii.+