26 Naye akatenda kwa njia yenye kuchukiza sana kwa kufuata sanamu za mavi,+ kama yale yote ambayo Waamori walikuwa wametenda, ambao Yehova aliwafukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli.’”+
7 Na ikawa kwamba kwa sababu wana wa Israeli walimtendea dhambi+ Yehova, Mungu wao, aliyewapandisha kutoka katika nchi ya Misri kutoka chini ya mkono wa Farao mfalme wa Misri,+ nao wakaanza kuogopa miungu mingine;+