Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nanyi msigeuke kando ili kufuata vitu visivyo vya kweli+ ambavyo havina faida+ yoyote na ambavyo havikomboi, kwa sababu hivyo ni vitu visivyo vya kweli.

  • Zaburi 96:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani;+

      Lakini Yehova, amezifanya mbingu.+

  • Yeremia 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kila mtu amejiendesha kwa kukosa sana kutumia akili asiweze kujua.+ Hakika kila fundi wa chuma ataona aibu kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+ kwa maana sanamu yake ya kuyeyushwa ni uwongo,+ na hamna roho ndani yake.+

  • 1 Wakorintho 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki