Mwanzo 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na jina la mto wa tatu ni Hidekeli;+ ndio unaoelekea upande wa mashariki wa Ashuru.+ Na mto wa nne ni Efrati.+ 2 Wafalme 17:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 mpaka Yehova alipoondoa Israeli kutoka mbele za macho yake,+ kama alivyokuwa amesema kupitia kwa watumishi wake wote manabii.+ Basi Israeli wakatoka katika udongo wao wenyewe, wakaenda uhamishoni katika Ashuru mpaka leo hii.+
14 Na jina la mto wa tatu ni Hidekeli;+ ndio unaoelekea upande wa mashariki wa Ashuru.+ Na mto wa nne ni Efrati.+
23 mpaka Yehova alipoondoa Israeli kutoka mbele za macho yake,+ kama alivyokuwa amesema kupitia kwa watumishi wake wote manabii.+ Basi Israeli wakatoka katika udongo wao wenyewe, wakaenda uhamishoni katika Ashuru mpaka leo hii.+