Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 15:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Pulu+ mfalme wa Ashuru+ akaingia katika nchi. Basi Menahemu akampa+ Pulu talanta elfu moja za fedha,+ ili mikono yake iwe pamoja naye kuimarisha ufalme mkononi mwake.+

  • 2 Wafalme 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo Ahazi akatuma wajumbe kwa Tiglath-pileseri+ mfalme wa Ashuru, na kusema: “Mimi ni mtumishi+ wako na mwana wako. Njoo uniokoe+ kutoka mkononi mwa mfalme wa Siria na kutoka mkononi mwa mfalme wa Israeli, ambao wanasimama kunishambulia.”

  • 2 Wafalme 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Shalmanesa+ mfalme wa Ashuru+ alipanda kuja kupigana naye, na Hoshea akawa mtumishi wake, akaanza kumlipa ushuru.+

  • Yeremia 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na sasa kwa nini ujishughulishe na njia ya Misri+ ili kunywa maji ya Shihori?+ Na kwa nini ujishughulishe na njia ya Ashuru+ ili kunywa maji ya ule Mto?

  • Yeremia 2:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa nini unaona kubadili njia yako kuwa jambo dogo sana?+ Utaona aibu kwa ajili ya Misri,+ kama vile ulivyoona aibu kwa ajili ya Ashuru.+

  • Maombolezo 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Tumewapa mkono+ Misri;+ Ashuru,+ ili tushibe mkate.

  • Ezekieli 16:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “ ‘Nawe ukaendelea kufanya ukahaba na wana wa Ashuru kwa sababu hukutoshelezwa,+ nawe ukaendelea kufanya ukahaba pamoja nao, nawe hukutoshelezwa pia.

  • Hosea 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Na Efraimu akaona ugonjwa wake, na Yuda kidonda chake.+ Ndipo Efraimu akaenda Ashuru+ na kupeleka ujumbe kwa mfalme mkuu.+ Lakini huyo hakuweza kuwaponya ninyi,+ wala kuwaondolea kidonda kwa dawa yoyote.+

  • Hosea 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Efraimu ni kama njiwa+ mjinga, asiye na ufahamu.+ Wameita Misri;+ wameenda Ashuru.+

  • Hosea 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana wao wenyewe wamepanda kwenda Ashuru,+ kama punda-milia aliyejitenga.+ Kwa habari ya Efraimu, wamekodi wapenzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki