19 Pulu+ mfalme wa Ashuru+ akaingia katika nchi. Basi Menahemu akampa+ Pulu talanta elfu moja za fedha,+ ili mikono yake iwe pamoja naye kuimarisha ufalme mkononi mwake.+
7 Kwa hiyo Ahazi akatuma wajumbe kwa Tiglath-pileseri+ mfalme wa Ashuru, na kusema: “Mimi ni mtumishi+ wako na mwana wako. Njoo uniokoe+ kutoka mkononi mwa mfalme wa Siria na kutoka mkononi mwa mfalme wa Israeli, ambao wanasimama kunishambulia.”
18 Na sasa kwa nini ujishughulishe na njia ya Misri+ ili kunywa maji ya Shihori?+ Na kwa nini ujishughulishe na njia ya Ashuru+ ili kunywa maji ya ule Mto?
28 “ ‘Nawe ukaendelea kufanya ukahaba na wana wa Ashuru kwa sababu hukutoshelezwa,+ nawe ukaendelea kufanya ukahaba pamoja nao, nawe hukutoshelezwa pia.
13 “Na Efraimu akaona ugonjwa wake, na Yuda kidonda chake.+ Ndipo Efraimu akaenda Ashuru+ na kupeleka ujumbe kwa mfalme mkuu.+ Lakini huyo hakuweza kuwaponya ninyi,+ wala kuwaondolea kidonda kwa dawa yoyote.+