7 Kwa hiyo Ahazi akatuma wajumbe kwa Tiglath-pileseri+ mfalme wa Ashuru, na kusema: “Mimi ni mtumishi+ wako na mwana wako. Njoo uniokoe+ kutoka mkononi mwa mfalme wa Siria na kutoka mkononi mwa mfalme wa Israeli, ambao wanasimama kunishambulia.”
23 Naye akaanza kuitolea dhabihu miungu+ ya Damasko+ iliyokuwa ikimpiga, naye akasema: “Kwa sababu miungu ya wafalme wa Siria inawasaidia wao,+ mimi nitaitolea dhabihu, ili inisaidie.”+ Nayo ikawa kisababishi cha kumfanya yeye na Israeli wote wajikwae.+
18 Na sasa kwa nini ujishughulishe na njia ya Misri+ ili kunywa maji ya Shihori?+ Na kwa nini ujishughulishe na njia ya Ashuru+ ili kunywa maji ya ule Mto?
5 “Naye Ohola akaanza kufanya ukahaba,+ alipokuwa chini yangu, na kuendelea kuwa na uchu kuwaelekea wale wanaompenda kwa tamaa,+ kuwaelekea Waashuru,+ waliokuwa karibu,