2 Wafalme 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mfalme alipokuja kutoka Damasko, ndipo mfalme alipoona ile madhabahu; naye mfalme akaikaribia ile madhabahu+ na kutoa matoleo juu yake.+ 2 Wafalme 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akaendelea kutoa toleo lake la kuteketezwa+ na kufukiza moshi+ wa toleo lake la nafaka+ na kumimina toleo lake la kinywaji+ na kunyunyiza damu ya matoleo yake ya ushirika juu ya ile madhabahu.
12 Mfalme alipokuja kutoka Damasko, ndipo mfalme alipoona ile madhabahu; naye mfalme akaikaribia ile madhabahu+ na kutoa matoleo juu yake.+
13 Naye akaendelea kutoa toleo lake la kuteketezwa+ na kufukiza moshi+ wa toleo lake la nafaka+ na kumimina toleo lake la kinywaji+ na kunyunyiza damu ya matoleo yake ya ushirika juu ya ile madhabahu.