2 Mambo ya Nyakati 28:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Akaanza kuitolea dhabihu miungu ya Damasko+ iliyokuwa imemshinda,+ akasema: “Kwa sababu miungu ya wafalme wa Siria inawasaidia, nitaitolea dhabihu ili inisaidie.”+ Lakini miungu hiyo ilimfanya yeye na Waisraeli wote wajikwae.
23 Akaanza kuitolea dhabihu miungu ya Damasko+ iliyokuwa imemshinda,+ akasema: “Kwa sababu miungu ya wafalme wa Siria inawasaidia, nitaitolea dhabihu ili inisaidie.”+ Lakini miungu hiyo ilimfanya yeye na Waisraeli wote wajikwae.