Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 wale wanaojitayarisha kushuka kwenda Misri+ na ambao hawakuuliza kutoka kinywani mwangu,+ ili kupata kinga katika ngome ya Farao na kupata kimbilio katika kivuli cha Misri!+

  • Isaya 31:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ole wao wanaoshuka kwenda Misri kutafuta usaidizi,+ wale wanaotegemea farasi+ ambao si kitu, na wanaotegemea magari ya vita,+ kwa sababu ni mengi, na kutegemea farasi wa vita, kwa sababu wana nguvu sana, lakini ambao hawakumtazama Mtakatifu wa Israeli wala kumtafuta Yehova mwenyewe.+

  • Yeremia 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na sasa kwa nini ujishughulishe na njia ya Misri+ ili kunywa maji ya Shihori?+ Na kwa nini ujishughulishe na njia ya Ashuru+ ili kunywa maji ya ule Mto?

  • Yeremia 2:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa nini unaona kubadili njia yako kuwa jambo dogo sana?+ Utaona aibu kwa ajili ya Misri,+ kama vile ulivyoona aibu kwa ajili ya Ashuru.+

  • Yeremia 44:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nitachukua mabaki wa Yuda ambao walikaza nyuso zao ili kuingia katika nchi ya Misri wakae humo wakiwa wageni,+ na hakika wote watamalizika katika nchi ya Misri.+ Wataanguka kwa upanga; nao watamalizika kwa njaa,+ kuanzia aliye mdogo zaidi mpaka aliye mkubwa zaidi; watakufa kwa upanga na kwa njaa. Nao watakuwa laana, kitu cha kushangaza na tukano na shutuma.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki